GET /api/v0.1/hansard/entries/364464/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 364464,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/364464/?format=api",
    "text_counter": 232,
    "type": "other",
    "speaker_name": "",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Tatu, sababu iliyotufanya tusiongeze kiasi cha hela zilizotengewa serikali za kaunti ni kwamba hela hizo haziko. Pia, ukiangalia Ripoti ya Auditor-General, utaona kwamba hata yeye hajui jinsi hela zitakavyotumika. Kwa hivyo, alitushauri tuzipatie serikali za kaunti kiasi hicho cha Kshs210 bilioni mwaka huu. Mwaka ujao, tutajua serikali za kaunti zilitumia hela hizo namna gani, na tutawaongeza kukiwa na haja ya kufanya hivyo."
}