GET /api/v0.1/hansard/entries/466777/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 466777,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/466777/?format=api",
"text_counter": 374,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. Mwaura",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13129,
"legal_name": "Isaac Maigua Mwaura",
"slug": "isaac-mwaura"
},
"content": "Ni lazima sisi kama Bunge tujionyesha kwamba tuna haki na uwezo wa kuhakikisha kwamba mswala sugu na ambayo yanawaadhiri wananchi wa kawaida yametatuliwa. Pia tunakuwa hapa Bunge ili tuweze kuchangia kwa umahiri na umakini. The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}