GET /api/v0.1/hansard/entries/498675/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 498675,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/498675/?format=api",
    "text_counter": 365,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Kisasa",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13124,
        "legal_name": "Mshenga Mvita Kisasa",
        "slug": "mshenga-mvita-kisasa"
    },
    "content": "Bi. Spika wa Muda, tukiangalia yote haya, utaona ya kwamba tuna hitaji uhusiano ama ushirikiano kwenye kaunti na Serikali kuu. Tusiseme zile hospitali za kaunti zitaachiwa tu kaunti. Lazima tuwe na ushirikiano kabisa. Kama nilivyosema hapo The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}