GET /api/v0.1/hansard/entries/518507/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 518507,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/518507/?format=api",
    "text_counter": 98,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Bule",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 1029,
        "legal_name": "Ali Abdi Bule",
        "slug": "ali-abdi-bule"
    },
    "content": "Muda umepita wa kupiga gumzo ilhali Wakenya wanaendela kuumia. Pesa za Serikali zinavujwa na watu binafsi ilhali Serikali haiwachukulii hatua. Kama hatuwezi kuwahudumia Wakenya kama Maseneta, inafaa tujiuzulu ili pesa ambazo tunalipwa zigharamie miradi ambayo itawasaidia Wakenya. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}