GET /api/v0.1/hansard/entries/526212/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 526212,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/526212/?format=api",
    "text_counter": 44,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Muthama",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 96,
        "legal_name": "Johnson Nduya Muthama",
        "slug": "johnson-muthama"
    },
    "content": "Asante, Bw. Speaker. Naungana na wenzangu kutuma rambirambi zangu kwa mke wa mwendazake, marehemu George Muchai, watoto, jamii na vile vile watu aliowakilisha Bungeni. Pia, natuma rambirambi zangu kwa watu aliowakilisha katika Muungano wa Vyama vya Wafanyikazi. Wakati watu wamekufa The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposes only. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}