GET /api/v0.1/hansard/entries/701128/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 701128,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/701128/?format=api",
"text_counter": 263,
"type": "speech",
"speaker_name": "Hon. (Ms.) Korere",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13134,
"legal_name": "Sara Paulata Korere",
"slug": "sara-paulata-korere"
},
"content": "Mhe. Naibu Spika wa Muda, nalilia Wizara ya Usalama ilinde usalama wa watu wa Laikipia. Hii ni kwa sababu kumekuwa na mzozo mkubwa sana wa wafugaji kung’ang’ania rasilimali. Nataka ieleweke kwamba iwapo hautatunza rasilimali zako, hizo rasilimali hazitakutunza. Kwa hivyo, ni kitu cha kusikitisha sana kwamba ninapozungumza katika Bunge hili leo, wawili wa watu kutoka eneo Bunge langu wanazikwa leo hii kwa sababu ya kupigwa risasi na The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}