GET /api/v0.1/hansard/entries/755610/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 755610,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/755610/?format=api",
"text_counter": 202,
"type": "speech",
"speaker_name": "The Woman Representative for Tana River County",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Namshukuru Mhe. Raisi kwa sababu alitupatia nambari yake wakati alipokuwa akisajili Wamakonde ingawa hatukuwa kwenye gazeti la Serikali. Hatukujiona. Namwomba bado ajaribu kufuatilia hilo jambo ili nasi tupate hiyo nambari ndiyo tuweze kutambulika. Pia namshukuru The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}