GET /api/v0.1/hansard/entries/847067/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 847067,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/847067/?format=api",
    "text_counter": 222,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Samburu CWR, KANU",
    "speaker_title": "Hon. (Ms.) Maison Leshoomo",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "Akina mama wengi wanaona aibu kusema wako na shida hiyo. Watu wanaogopa. Tunaomba tuwe na madaktari mashinani. Tunawashukuru madaktari ambao Serikali imewaleta kutoka nje. Tunaona sasa wanaelekea mashinani kwenda kutibu magonjwa tofauti. Ninaomba The electronic version of the Official Hansard Report is for information purposes only. Acertified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor."
}