GET /api/v0.1/hansard/entries/902973/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 902973,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/902973/?format=api",
    "text_counter": 18,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "Asante, Bw. Spika, kwa kunipa fursa hii kuunga mkono maombi ambayo yameletwa na wakaazi wa Kisumu. Ni kweli kwamba kwa sasa, Serikali haina utaratibu kwa maswala ya nyumba. Kwa mfano, kule Mombasa, nyumba zinazomilikiwa The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}