GET /api/v0.1/hansard/entries/923826/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 923826,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/923826/?format=api",
"text_counter": 215,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Cherargei",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13217,
"legal_name": "Cherarkey K Samson",
"slug": "cherarkey-k-samson"
},
"content": "yanafaa kuhakikisha kwamba yamezingatia azimio ambalo Seneti inaweza kutoa kulingana na hiyo arifa. Sisi kama kamati husika tunatarajia majibu sahihi ambayo yatasaidia kuendesha ugatuzi katika taifa letu la Kenya. Asante, Bw. Spika wa Muda."
}