GET /api/v0.1/hansard/entries/923844/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 923844,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/923844/?format=api",
    "text_counter": 233,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Pareno",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13180,
        "legal_name": "Judith Ramaita Pareno",
        "slug": "judith-ramaita-pareno"
    },
    "content": "Bw. Spika wa Muda, namshukuru ndugu yangu, Sen. Faki, kwa kuleta taarifa hii kuhusu ujenzi wa ofisi za uvuvi za kitaifa. Nmeangalia taarifa ambayo ilikuwepo katika gazeti kuhusu kandarasi hiyo na imebainika kwamba kuna wafadhili, ambao ni Benki The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Hansard Editor, Senate."
}