GET /api/v0.1/hansard/entries/1034435/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1034435,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1034435/?format=api",
    "text_counter": 220,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Wajir CWR, PDR",
    "speaker_title": "Hon. (Ms.) Fatuma Gedi",
    "speaker": {
        "id": 1139,
        "legal_name": "Fatuma Gedi Ali",
        "slug": "fatuma-gedi-ali"
    },
    "content": " Hoja ya nidhamu, Mhe. Naibu Spika Wa Muda. Ningependa kusema jambo kuhusu nidhamu katika Jumba hili. Wakati ulikuwa unazungumza, Mhe. Sankok alikuwa anachukua video . Ningetaka kujua kama hii iko katika Kanuni za Kudumu. Nimeona hili si jambo nzuri. Kwa hivyo ni vizuri aseme nia ya kuchukua hiyo"
}