GET /api/v0.1/hansard/entries/1037247/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1037247,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1037247/?format=api",
    "text_counter": 615,
    "type": "other",
    "speaker_name": "",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Waheshimiwa Maseneta, tunajua kwamba kutokana na janga kuu la COVID-19 katika Mwezi huo tu wa Machi, shughuli zetu zilikuwa haziwezi kuendeshwa vizuri kwa sababu mabunge yote ulimwenguni yalianza mikakati ya kuhakikisha kwamba yanachunga kuenezwa kwa ugonjwa wa COVID-19 kati ya Wabunge wenyewe na wafanyikazi wa Mabunge hayo."
}