GET /api/v0.1/hansard/entries/1066861/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1066861,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1066861/?format=api",
    "text_counter": 74,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mhe. Samia Suluhu Hassan",
    "speaker_title": "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania",
    "speaker": null,
    "content": "Tunatambua kwamba kila nchi - ikiwemo Tanzania - imejiwekea utaratibu wa kupambana na janga hili kulingana na mazingira yake mahsusi na hali ya kusambaa kwa ugonjwa huo katika nchi hizo."
}