GET /api/v0.1/hansard/entries/1073030/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1073030,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1073030/?format=api",
    "text_counter": 204,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Madzayo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 679,
        "legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
        "slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
    },
    "content": "Ni hayo peke yake nilikuwa nataka kusema. Lakini la muhimu zaidi ni kwamba nataka nimpatie kongole sana Sen. Cheruiyot kwa ujasiri wake wa Lugha ya Kiswahili. Ameongea Kiswahili mufti ambacho hata mimi nimekipenda."
}