GET /api/v0.1/hansard/entries/1083999/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1083999,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1083999/?format=api",
"text_counter": 156,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Wario",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13224,
"legal_name": "Golich Juma Wario",
"slug": "golich-juma-wario"
},
"content": "Ingekua vyema kama Serikali ingetenga pesa za kutosha ili wananchi wetu wapate chanjo. Hii ni kwa sababu kama wananchi hawatapata chanjo na hakuna tiba ya COVID-19, basi hofu tuliyonayo wakati huu itaendelea kutandaa na itafanya uchaguzi usiwe wa maana kwetu."
}