GET /api/v0.1/hansard/entries/108862/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 108862,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/108862/?format=api",
    "text_counter": 960,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Dr. Shaban",
    "speaker_title": "The Minister of State for Special Programmes",
    "speaker": {
        "id": 139,
        "legal_name": "Naomi Namsi Shaban",
        "slug": "naomi-shaban"
    },
    "content": " Bw. Spika, sarakasi ni kuwa, kila saa na wakati, watu ni kutoka; watu hawataki kufanya shughuli yoyote ya Bunge hili. Tumetupilia mbali shughuli iliyotuleta Bungeni kusaidia Wakenya kuwa na maisha bora kuliko wakati ule tukija hapa."
}