GET /api/v0.1/hansard/entries/1120581/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1120581,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1120581/?format=api",
    "text_counter": 30,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Wario",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13224,
        "legal_name": "Golich Juma Wario",
        "slug": "golich-juma-wario"
    },
    "content": "Ninaunga mkono lugha hiyo wakati wanapoisherehekea kwa sababu tunaishi na watu hao; ni ndugu zetu na watu ambao lugha hii yao inafaa ipewe kipaumbele katika shule na vyuo vikuu ili ikuzwe."
}