GET /api/v0.1/hansard/entries/1121833/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1121833,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1121833/?format=api",
    "text_counter": 249,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Likoni, ODM",
    "speaker_title": "Hon. (Ms.) Mishi Mboko",
    "speaker": {
        "id": 874,
        "legal_name": "Mishi Juma Khamisi",
        "slug": "mishi-juma-khamisi"
    },
    "content": "Kwa hakika, kama Wakenya, tunajua kuwa unapofika miaka 60, unastaafu. Kuna wale ambao hustaafu kabla ya miaka 60 ndiposa kukawa na mikakati ya s cheme ya pensheni . Lakini, kumekuwa na changamoto nyingi sana. Wakenya wengi wamepata shida sana mikononi mwa maofisa tofauti tofauti katika mradi huu wa pensheni . Kuna ile tunayoita kwa Kiingereza"
}