GET /api/v0.1/hansard/entries/1161513/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1161513,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1161513/?format=api",
    "text_counter": 109,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Madzayo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 679,
        "legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
        "slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
    },
    "content": "zimeenda juu wakati wa “ handshake” . Nataka kumweleza ya kwamba “ handshake” ilikuja baadaye. Hata mtu akitaka kupata mtoto, mama akishika mimba, inachukua miezi tisa ndipo azae. Kwa hivyo, sisi tukiingia wakati wa “ hand shake”, ile mimba ya ule ubaya ilikuwa iko tayari."
}