GET /api/v0.1/hansard/entries/1194793/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1194793,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1194793/?format=api",
    "text_counter": 108,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Spika wa Muda (",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Mhe. Martha Wangari): Asante sana. Waheshimiwa Wabunge, ningependa kuwatambua wanafunzi na waalimu wa Makini School kutoka eneo bunge la Dagoretti Kaskazini, Kaunti ya Nairobi, ambao wameketi kwenye Public Gallery . Kwa niaba yangu na ya Bunge la Taifa, nawakaribisha watazame shughuli za Bunge ukumbini. Nitampa nafasi Mbunge wa Likoni, Mhe. Mishi Mboko."
}