GET /api/v0.1/hansard/entries/1194917/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1194917,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1194917/?format=api",
    "text_counter": 232,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Spika wa Muda",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "(Mhe. (Dkt.) Rachael Nyamai): Ahsante Mheshimiwa. Tunapoendelea, ningependa kuwajulisha kwamba tuko na wanafunzi kutoka shule zifuatazo: Mugunda Girls High School, eneo Bunge la Kieni, Nyeri County; Nginda Girls High School, eneo Bunge la Maragwa, Murang’a Kaunti; St. Angela’s Girls High School, eneo Bunge la Kiambaa, Kiambu Kaunti na St. Regina Nairutia Mixed Secondary School, eneo Bunge ya Nyeri Mjini, Nyeri Kaunti. Karibuni katika Bunge."
}