GET /api/v0.1/hansard/entries/1201413/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1201413,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1201413/?format=api",
    "text_counter": 493,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Mwaruma",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13223,
        "legal_name": "Johnes Mwashushe Mwaruma",
        "slug": "johnes-mwashushe-mwaruma"
    },
    "content": "Kufungwa huku kwa biashara na kuwapa nafasi Kenya Airways pekee ni ‘ monopoly’ . Inalemaza uchimi wa Kaunti za pwani. Malindi vile vile ina kiwanja cha ndege ambacho ni cha kiwango cha kimataifa kinacholemaa kwa sababu hiyo. Uwanja wa ndege wa Eldoret kule Uasin-Gishu una ndege nyingi za mizigo. Watu wengi wanapeleka mizigo yao kupitia kule kwa sababu ni rahisi kufanya clearance na kuchukuwa mizigo yao."
}