GET /api/v0.1/hansard/entries/1201475/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1201475,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1201475/?format=api",
    "text_counter": 555,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Pia alizungumzia maswala ya shule. Rais alisema kuwa kuna watu walienda kortini kuomba mambo ya National Government - Constituency Development Fund (NG-CDF) yaishe. Hiyo ilifanya watoto wengine kutoenda shule. Lakini, Rais alisisitiza kuwa"
}