GET /api/v0.1/hansard/entries/1204058/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1204058,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1204058/?format=api",
    "text_counter": 511,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "Kwa hivyo, mpaka sasa na kulingana na stakabadhi zilizotolewa ni kwamba chama cha UDM bado kiko katika mrengo wa Azimio-One Kenya. Sheria inawatambua kama wanachama wa mrengo wa Azimio-One Kenya mpaka watakapojitoa katika mrengo huo. Kwa sababu hiyo, mwanachama wa mrengo wetu hawezi kupendekezwa na upande wa pili."
}