GET /api/v0.1/hansard/entries/1216611/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1216611,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1216611/?format=api",
"text_counter": 368,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kinyua",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13202,
"legal_name": "John Kinyua Nderitu",
"slug": "john-kinyua-nderitu-2"
},
"content": "Walituambia ya kwamba, ukiangalia katika Ibara ya 27 ya Katiba, inasema ya kwamba; hupaswi kumzuia mtu yeyote ama huwezi kuwazuia watu kufanya vile wanavyotaka kuungana. Ijapokuwa Ibara ya 36 ya Katiba ya Kenya inasema ya kwamba inakubalisha miungano yoyote."
}