GET /api/v0.1/hansard/entries/1219606/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1219606,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1219606/?format=api",
    "text_counter": 228,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. (Dr.) Khalwale",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 170,
        "legal_name": "Bonny Khalwale",
        "slug": "bonny-khalwale"
    },
    "content": "Bw. Spika wa Muda, huu mjadala ni muhimu kwa sababu yote tunayozungumza hapa yanawekwa katika rekodi. Kwa hivyo, ninaomba ndugu yangu, Sen. Cherarkey, akubali. ‘ Conception’ ni wakati mbegu ya mwanamume inaungana na ya mwanamke katika nyumba ya uzazi."
}