GET /api/v0.1/hansard/entries/1219608/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1219608,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1219608/?format=api",
"text_counter": 230,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Cherarkey",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13217,
"legal_name": "Cherarkey K Samson",
"slug": "cherarkey-k-samson"
},
"content": "Bw. Spika wa Muda, ninakubaliana na Seneta wa ndume kutoka Kaunti ya Kakamega, kwamba maisha yanaanza wakati mbegu ya mwanamke na mwanaume zinapokutana. Kwa heshima kubwa, ninaomba HANSARD irekebishe matamshi hayo."
}