GET /api/v0.1/hansard/entries/1223085/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1223085,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1223085/?format=api",
    "text_counter": 184,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Luanda, DAP-K",
    "speaker_title": "Mhe. Dick Oyugi",
    "speaker": null,
    "content": "Mhubiri mmoja na mwandishi wa vitabu vingi anayejulikana kama Myles Munroe – ambaye alituacha hivi majuzi – aliandika vitabu vingi sana kuhusu maadili mazuri katika maisha ya mwanadamu. Katika kitabu kimoja, alizungumzia mambo ya ushoga, na akasema kuwa ushoga ni jambo geni; ni jambo la aibu na si nzuri. Ni jambo ambalo limekuwa likizungumziwa nyuma ya pazia, lakini sasa limewekwa wazi. Ushoga haukubaliki na haustahili kukubaliwa katika nchi yetu."
}