GET /api/v0.1/hansard/entries/1225595/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1225595,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1225595/?format=api",
    "text_counter": 681,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Madzayo",
    "speaker_title": "The Senate Leader of Minority",
    "speaker": {
        "id": 679,
        "legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
        "slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
    },
    "content": " Huu ni wakati mgumu sana kwa waislamu. Ni wakati ambao wamejiweka mbele ya Mwenyezi Mungu. Mhe. Amina Munyazi alionyeshwa madharau ambayo haiyajaonekana ndani ya hii nchi kwa mwanamke wa Kiislamu."
}