GET /api/v0.1/hansard/entries/1230897/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1230897,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1230897/?format=api",
    "text_counter": 25,
    "type": "other",
    "speaker_name": "",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "KWAMBA, tukifahamu kuwa, familia ndio kiungo cha msingi cha jamii, nakutambua kwamba utamaduni wa Kiafrika unathamani sana asasi ya ndoa ambayo inahakikisha kuendelea kwa binadamu kupitia uzazi; tukizingatia ukweli kwamba Ibara ya 45(2) ya Katiba inaeleza kuwa kila mtu mzima ana haki ya kufunga ndoa na mtu wa jinsia tofauti, kwa msingi wa hiari baina ya wahusika; tukitambua pia kwamba Kifungu cha 162 cha Kanuni ya Adhabu kinamtia hatiani yeyote ambaye anashiriki tendo la ngono lisilo la kawaida na mtu yeyote kinyume na utaratibu wa asili; tukizingatia kuwa mahusiano na ndoa za jinsia moja na ngono inayotokana na mahusiano haya ni"
}