GET /api/v0.1/hansard/entries/123410/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 123410,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/123410/?format=api",
    "text_counter": 215,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Dr. Machage",
    "speaker_title": "The Assistant Minister for Roads",
    "speaker": {
        "id": 179,
        "legal_name": "Wilfred Gisuka Machage",
        "slug": "wilfred-machage"
    },
    "content": "Kwa wale, wale ambao wanapenda kusoma Biblia, wanajua kwamba wakati fulani, Mwenyezi Mungu alimuumba binadamu na binadamu akawazaa watoto wawili; Abel na Kain. Baadaye, Kain aliamua kumuua Abel. Mwenyezi Mungu akamuuliza Kain: “Ndugu yako yuko wapi?” Kain akamujibu: “Sijui.” Mwenyezi Mungu akamuuliza: “Unasema hujui na damu ya ndugu yako inalia mbele ya macho yangu?”"
}