GET /api/v0.1/hansard/entries/1234145/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1234145,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1234145/?format=api",
    "text_counter": 257,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Kuria West, UDA",
    "speaker_title": "Mhe. Mathias Robi",
    "speaker": null,
    "content": "na wale wanapata mapato ya chini – mahusltler wanaenda katika hizo kampuni kutafuta riziki. Watu wengine wanachukua nafasi hiyo kuwanyanyasa na kuwatumia vibaya kimapenzi badala ya kuwasaidia."
}