GET /api/v0.1/hansard/entries/1234773/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1234773,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1234773/?format=api",
"text_counter": 543,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Kibwana",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 277,
"legal_name": "Kibwana Kivutha",
"slug": "kibwana-kivutha"
},
"content": "Bw. Spika wa Muda, mimi hata hawakunipa nafasi ya kusema vile nilikuwa nataka kusema. Mimi nilikuwa nikisema kuwa Bwana Mackenzie alionekana wakiomba pamoja. Sikusema zaidi ya hapo. Hivyo tu ndivyo nimesema"
}