GET /api/v0.1/hansard/entries/1242814/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1242814,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1242814/?format=api",
"text_counter": 296,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Murango",
"speaker_title": "",
"speaker": {
"id": 13585,
"legal_name": "Murango James Kamau",
"slug": "murango-james-kamau"
},
"content": "Asante, Bi. Spika wa Muda. Ningependa kuelezea Seneta wa Nandi kwamba, wakati watu wanafanya ushirikishwaji wa umma, hawatumii miguu kama wakiritimba wanaouza ng’ombe. Inabidi kuwe na malazi na vitu vingine vinavyohitajika."
}