GET /api/v0.1/hansard/entries/1242814/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1242814,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1242814/?format=api",
    "text_counter": 296,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Murango",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13585,
        "legal_name": "Murango James Kamau",
        "slug": "murango-james-kamau"
    },
    "content": "Asante, Bi. Spika wa Muda. Ningependa kuelezea Seneta wa Nandi kwamba, wakati watu wanafanya ushirikishwaji wa umma, hawatumii miguu kama wakiritimba wanaouza ng’ombe. Inabidi kuwe na malazi na vitu vingine vinavyohitajika."
}