GET /api/v0.1/hansard/entries/13223/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 13223,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/13223/?format=api",
    "text_counter": 275,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Mr. Kutuny",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 61,
        "legal_name": "Joshua Serem Kutuny",
        "slug": "joshua-kutuny"
    },
    "content": "Lakini vile vile, ngoja ngoja huumiza matumbo. Ningependa umshurutishe Waziri – na siyo kuomba wakati huu – awasilishe Taarifa hiyo. Mikahawa ilivamia tarehe 23/2/2011. Mkahawa mwingine ulivamiwa tarehe 2/1/2011. Tena, tarehe 10/4/2011 mkahawa mwingine ulivamiwa. Juzi, mkulima maarufu aliuwawa na majambazi. Sasa, tunataka Taarifa hiyo."
}