GET /api/v0.1/hansard/entries/1381338/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1381338,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1381338/?format=api",
"text_counter": 132,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Madzayo",
"speaker_title": "The Senate Minority Leader",
"speaker": {
"id": 679,
"legal_name": "Stewart Mwachiru Shadrack Madzayo",
"slug": "stewart-mwachiru-shadrack-madzayo"
},
"content": "Wafanyikazi wengi wanaofanya kazi katika serikali za kaunti wanakatwa pesa na kwenda kwenye Local Authorities Pension Trust (LAPTRUST) ama Local AuthorityProvident Fund (LAPFUND). Malipo haya yana mipangilio kwamba mfanyikazi atakapostaafu atachukua pesa zake na zikaweza kumsaidia."
}