GET /api/v0.1/hansard/entries/1423322/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1423322,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1423322/?format=api",
    "text_counter": 200,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Munyi Mundigi",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Asante, Bw. Spika. Ni aibu kubwa sana hapa Kenya kwa Wabunge 349 kusema kwamba magavana hawafanyi kazi, wakati tunajua kwamba hao magavana 47 wako na Maseneta wao ambao hawajasema hawafanyi kazi. Pia tumesikia"
}