GET /api/v0.1/hansard/entries/144234/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 144234,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/144234/?format=api",
    "text_counter": 127,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Bi Leshomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "alimuuliza Waziri wa Ulinzi:- (a) ikiwa Waziri ana habari kuhusu mlipuko wa bomu tarehe 13/6/09 katika eneo la Nairoborkeu, tarafa ya Loroki, wilaya ya Samburu ambapo mtoto wa miaka 12 aliuawa; na, (b) hatua zinazochukuliwa na Serikali kuzuia milipuko ya mara kwa mara, ikizingatiwa kwamba tangu mwaka wa 1990, mabomu yamekuwa yakilipuka na"
}