GET /api/v0.1/hansard/entries/144264/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 144264,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/144264/?format=api",
    "text_counter": 157,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Bi. Leshomo",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 379,
        "legal_name": "Maison Leshoomo",
        "slug": "maison-leshoomo"
    },
    "content": "Bw. Naibu Spika, ningependa kumwomba Waziri Msaidizi asiseme eti ni bomu moja liko huko kwa sababu mabomu mengi yako huko. Nina thibitisho kwamba mabomu yameonekana katika eneo hilo la Nairoborkeu . Je, hii familia iliyoathirika italipwa kwa njia gani? Je, mali iliyoharibika italipwa? Kuna watu wengi ambao wamehama mashamba yao kwa sababu ya mabomu yaliyomo ardhini."
}