GET /api/v0.1/hansard/entries/1443345/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1443345,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1443345/?format=api",
    "text_counter": 115,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Shakila Abdalla",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 380,
        "legal_name": "Shakila Abdalla",
        "slug": "shakila-abdalla"
    },
    "content": "? Kwa sababu wanalinda watu wengine fulani. Mambo kama hayo ya ukosefu wa usawa ndio yanaleta hii shida ya Gen Z kuamka na kuona kwamba ni lazima hii nchi iwe na usalama kwa sababu sote ni Wakenya. Kuhusu ufisadi, utakuta wanaokuwa sacrifice d ni wale small sheep . Anaenda kuishi kwa director na maneja ilhali waziri yuko free . Director na Maneja wanachukuwa"
}