GET /api/v0.1/hansard/entries/1444164/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1444164,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1444164/?format=api",
"text_counter": 275,
"type": "speech",
"speaker_name": "Sen. Okenyuri",
"speaker_title": "",
"speaker": null,
"content": "Nikiongezea pia, Mswada huu umekuja kwa wakati unaofaa. Serikali ya Kenya Kwanza ikiwa kwenye harakati zao za kampeni kipindi ambacho kimemalizika, tulikuwa tukisema kuwa tunajali maisha ya wale wachochole; wale ambao wako katika vitengo vya chini mno na Mswada huu umegusia kitengo hicho. The electronic version of the Senate Hansard Report is for information purposesonly. A certified version of this Report can be obtained from the Director, Hansard and AudioServices, Senate."
}