GET /api/v0.1/hansard/entries/1446089/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1446089,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1446089/?format=api",
    "text_counter": 223,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "s. Kamati pia ziliweza kufanya kazi nyingi wakati wa janga la COVID-19 walipokuwa wakifanya mikutano online ili kuhakikisha kwamba kazi ya Bunge inaendelea kufanyika bila shida yoyote. Vile vile, wakati wa COVID-19, tuliweza kufanya mikutano na watu kutoka nchi mbalimbali tukiwa hapa nchini. Hivyo basi, tuliweza kupunguza gharama za usafiri na kufanya mikutano kwa kiasi kikubwa. Maswala ya e-Parliament yatasaidia kupunguza gharama za Bunge itakapoanza kutumika kikamilifu. Bi. Spika wa Muda, kwa hayo mengi, asante kwa kunipa fursa hii ili kuunga mkono ripoti hii."
}