GET /api/v0.1/hansard/entries/1462576/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1462576,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1462576/?format=api",
    "text_counter": 145,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Miraj",
    "speaker_title": "",
    "speaker": null,
    "content": "Ni jambo la kutamausha kwamba unapotembea katika kaunti yako, unakumbana na wananchi ambao walitoa huduma kwa wakati mwafaka lakini lazima watafute yule watakayemwongelesha ili wahusika waweze kulipa madeni hayo."
}