GET /api/v0.1/hansard/entries/1488495/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1488495,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1488495/?format=api",
    "text_counter": 126,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Lamu East, JP",
    "speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
    "speaker": {
        "id": 2100,
        "legal_name": "Shariff Athman Ali",
        "slug": "shariff-athman-ali"
    },
    "content": "aliziwacha hizi asbestos pale Kiunga. Wananchi wamezichukua na kutengeneze maboma. Ni hatari sana. Ninaomba wahusika wahakikishe kwamba hilo jambo limerekebishwa kabla halijaleta madhara. Tumeambiwa kwamba asbestos husababisha cancer . Unatarajia watu wangu wa Kiunga wapate hiyo shida ilihali wenyewe ni maskini wa roho zao?"
}