GET /api/v0.1/hansard/entries/1498981/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1498981,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1498981/?format=api",
    "text_counter": 575,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Lamu East, JP",
    "speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
    "speaker": {
        "id": 2100,
        "legal_name": "Shariff Athman Ali",
        "slug": "shariff-athman-ali"
    },
    "content": " Mhesh. Naibu Spika, tukizungumza kuhusu makadamia, tunafaa kuizungumzia pamoja na nuts zingine, haswa korosho ambayo katika packaging, huchaganywa na macadamia. Nataka pia Waziri anapozungumza, azichanganye vivyo hivyo. Akizungumzia makadamia, azungumzie korosho."
}