GET /api/v0.1/hansard/entries/1502497/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1502497,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502497/?format=api",
    "text_counter": 103,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Lamu East, JP",
    "speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
    "speaker": {
        "id": 2100,
        "legal_name": "Shariff Athman Ali",
        "slug": "shariff-athman-ali"
    },
    "content": " Ahsante, Mhe. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi ya kuchangia mjadala kuhusu Hotuba ya Rais. Kusema kweli, Rais ni msikivu; yaani anasikiliza maneno. Hiyo ni sifa ya mwanadamu mzuri. Katika swala la Adani, kule"
}