GET /api/v0.1/hansard/entries/1502497/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept
{
"id": 1502497,
"url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1502497/?format=api",
"text_counter": 103,
"type": "speech",
"speaker_name": "Lamu East, JP",
"speaker_title": "Hon. Ruweida Mohamed",
"speaker": {
"id": 2100,
"legal_name": "Shariff Athman Ali",
"slug": "shariff-athman-ali"
},
"content": " Ahsante, Mhe. Naibu Spika wa Muda, kwa kunipa nafasi ya kuchangia mjadala kuhusu Hotuba ya Rais. Kusema kweli, Rais ni msikivu; yaani anasikiliza maneno. Hiyo ni sifa ya mwanadamu mzuri. Katika swala la Adani, kule"
}