GET /api/v0.1/hansard/entries/1555081/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1555081,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1555081/?format=api",
    "text_counter": 545,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Kikuyu, UDA",
    "speaker_title": "Hon. Kimani Ichung’wah",
    "speaker": null,
    "content": " Asante, Mhe. Spika wa Muda. Naomba kuwasilisha hoja kwamba Bunge likubaliane na Kamati kuhusu kuzingatia Mswada wa Marekebisho ya Ushuru wa Bidhaa, Mswada wa Bunge la Taifa Nambari. 7 wa Mwaka 2025. Ningependa kumwomba Mhe. Zamzam aunge mkono."
}