GET /api/v0.1/hansard/entries/1560353/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1560353,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1560353/?format=api",
    "text_counter": 304,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Matuga, ANC",
    "speaker_title": "Hon. Kassim Tandaza",
    "speaker": null,
    "content": "tutatumia vitengo mbalimbali vya Serikali ili visitumiwe na mabwanyenye kuhaini hatua za Serikali na kuwanyanyasa wananchi. Wakati umefika wa Bunge kuchukua hatua dhabiti ya kulinda wananchi wake. Ahsante."
}