GET /api/v0.1/hansard/entries/1566862/?format=api
HTTP 200 OK
Allow: GET, PUT, PATCH, DELETE, HEAD, OPTIONS
Content-Type: application/json
Vary: Accept

{
    "id": 1566862,
    "url": "https://info.mzalendo.com/api/v0.1/hansard/entries/1566862/?format=api",
    "text_counter": 279,
    "type": "speech",
    "speaker_name": "Sen. Faki",
    "speaker_title": "",
    "speaker": {
        "id": 13211,
        "legal_name": "Mohamed Faki Mwinyihaji",
        "slug": "mohamed-faki-mwinyihaji-2"
    },
    "content": "Bw. Spika wa Muda, tutapendekeza katika Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Uchimbaji wa Madini kwamba Serikali ya Kitaifa, serikali za kaunti na jamii zinazoathirika zipokee royalties zao kando kando."
}